Gumzo Kuu
Loading...

Job opportunity at NIDA INFORMATION TECHNOLOGY OFFICER, STORE KEEPERS KIBAHA Deadline 26 AUGUST 2016

...Good News, Like Us Now.

Tangazo la NAFSI YA AJIRA YA MUDA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA
Mamlaka ya vitambulisho vya taifa (NIDA) ni taasis iliyo chin ya wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, iliyoanzishwa kwa Hati Maalum GN.NO.122/2008 ili kusimamia zoezi la usajil ana utambuzi wa watu chini ya Sheria ya Usajili na Utambuzi wa watu sheria noa. 36 kama ilivyorekebishwa mwaka 2012 ( CAP 36. R.E. 2012)


kutokana na ongezeko la vifaa na mahtaji makubwa ya utunzaji  na ukarafiti wa vifaa hivyo Mmlaka ya Vitambulisho vya Taifa- NIDA inakaribisha maomb ya ajira za muda (temporary) employment) katika ofisi ya TANITA Kibaha mkoani Pwani kwa watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 40 kati ya watumishi 30 watnatakiwa wawe na ujuzi wa TEHAMA  (IT)  NA 10 wawe na ujuzi wa kutunza kumbu kumbu na vifaa (store keeper)
Maombi yote yaambatanishwe na vivuli vya vyeti vya taaluma pamoja na taarifa binafsi za mwombaji (CV) na ziwasilishwe kwa mkono katika ofisi ya mamlaka iliyopo TANITA- KIBAHA MKOANI PWANI
Mwisho wa kupokea maombi ni jumanne tarehe 26/08/2016

Source daily news August 19, 2016
SIFA ZA MWOMBAJI

UNA MAONI GANI KUHUSU HABARI HII

© Copyright TANYUZI (Tz-News)
Back To Top