Gumzo Kuu
Loading...

Public Service Recruitment Secretariat: Public Notice


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
KUKANUSHA TAARIFA KUHUSU TANGAZO LA AJIRA SERIKALINI
Kuna tangazo ambalo linasambazwa kupitia baadhi ya mitandao ya kijamii lenye kichwa cha habari ‘’Sekretarieti ya Ajira yatangaza zaidi ya nafasi za kazi 1,000’’. Likionyesha kuwa Serikali kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia watanzania wenye sifa na uwezo kujaza jumla ya nafasi wazi za kazi 1,101 kwa niaba ya waajiri mbalimbali Serikalini.
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira anapenda kuwataafu wadau na wananchi wote kwa ujumla kuwa taarifa hiyo haina ukweli wowote na inalenga kuupotosha Umma, hivyo wananchi wote wanapaswa kuzipuuza. Matangazo yote ambayo hutolewa na Serikali kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni lazima yaonekane kwenye Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira www.ajira.go.tz au portal ya Ajira ambayo ni portal.ajira.go.tz.
Kama mnavyofahamu hivi karibuni Serikali ilitoa taarifa ya kusitisha Ajira mpya Serikalini kwa ajili ya zoezi la uhakiki wa Watumishi hewa kama ambavyo taarifa ilivyotolewa hapo awali, kwa kuwa zoezi hilo bado halijakamilika tunaomba wananchi wote na wadau wa Sekretarieti ya Ajira waendelee kuvuta subira hadi pale zoezi hilo litakapokamilika na taarifa rasmi itatolewa na Mamlaka husika.
Sekretarieti ya Ajira inapenda kuomba radhi kwa wale wote waliopata usumbufu kutokana na tangazo hilo lenye nia ya kupotosha Umma. Aidha,tunaendelea kuwasisitiza wadau wetu wote kuwa, wanapoona matangazo ya kazi yanayodaiwa kutolewa na Sekretarieti ya Ajira katika baadhi ya mitandao ya kijamii wasiyokuwa na uhakika nayo wajiridhishe kwa kuangalia katika tovuti na portal ya Sekretarieti ya Ajira kabla ya kuyafanyia kazi.
Aidha, Sekretarieti ya Ajira inapenda kutoa taarifa kuwa haitasita kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote wenye nia ya kuupotosha umma kupitia taarifa zinazosambazwa ambazo hazina ukweli.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma.
Tarehe 30 Septemba, 2016

Diamond Platnumz – All The Way Up [Version] | Wema Sepetu, Hamisa Mobeto & Zari | Mp3 Download


Diamond Platnumz is no doubt the king of bongo fleva but the talented singer seems to have his eyes on yet another crown.
In a new rap song Diamond Platnumz seems to be dissing his rival Alikiba in the remix, All the way up.
He talks about posting his shows on Instagram while Ali Kiba posts elephants.

He goes further and brags about sleeping with  Hamisa Mobetto, Wema Sepetu and Zari in the lyrics and says, his religion allows him to be with the three of them, so it's not a big deal.



Jackline wolper release her new Photos




Diamond's Mother and sister Esma Platinum wishes ex girl friend of Diamond a happy birthday to wema sepetu

Diamond Platnumz’s wife Zari Hassan is not getting along with the singer’s family. Though rumors have been denied in the past, it now evident that Diamond’s mother hates her.
Recently she was celebrating her birthday in Zanzibar but Diamond’s mother and sister were not invited or at least they did not feel the need to attend.

On top of that, these two did not wish Zari any birthday messages something that left everyone wondering.Now, today Wema (Diamond’s ex-girlfriend) is celebrating her birthday and the heat on social media has become too much.

This is after Diamond’s mother and sister wished Wema sweet birthday message through their social media pages.

The question now remains whether Diamond and Zari are just pretending to be happy since it is evident that Diamond’s family hate her.

See the post;


New 35 Vacant Posts today 29 September, 2016

TCU SELECTION 2016/17

Open the links below to view the selection 2016/17.
NB: Most of them are in PDF format, so you need to install the PDF reader in order to read.


Please share this to friends

=>Ruaha University  << CLICK HERE>>
==> Iringa University   << CLICK HERE>>
==>Bugando University  << CLICK HERE>>
==>Mwalimu Nyerere University  << CLICK HERE>> 

==>
Udsm,duce and Muce   << CLICK HERE>> 

==>Tumaini Makumira University    << CLICK HERE>>

==>University of Dodoma  << CLICK HERE>>

 ==> Ifm << CLICK HERE>>

==>Marian University << CLICK HERE>>

 ==>CBE        << CLICK HERE>>

==>Tumaini University -Mbeya     << CLICK HERE>> & <<HERE>>

 ==> MUM       << CLICK HERE>>

==> MUM (Diploma) << CLICK HERE>>

 ==>Stella Maris University << CLICK HERE>>

 ==>Kampala University- KIU  << CLICK HERE>>


Aunty Ezekiel And Mose Iyobo's Zanzibar Diary With The Platnumz


Actress Aunt Ezekiel and baby daddy Mose Iyobo joined The Platinum in Zanzibar for Zari's birthday and their min vacation.



Beautiful Female Athlete Savagely BLASTS Kenyans Sports Journalists For Being Thirsty Fisis

Yenyewe fisi ni fisi tuu. I swear. One of the talented female athletes who went to Rio, Brazil to represent Kenya in the Olympics has called out male sports journo’s for being sex pests.
This damning admission was made by one of Kenya’s athletics darling who has been representing the country in various athletics competitions.
She told Nairobian, it is even harder on unmarried female athletes as she and others like her are fair game to both the journalists and the old married coaches.
The angry female athlete said they fisis always use various techniques to get your attention. Like one who used to text and call incessantly after he ran her story in the newspaper.
She pointed out that the journo’s game ilikua chini kama basement.
Ameomba sirikal. Asking the members of the fourth estate to put some respek back to their profession and hers as well.
Here is the list of the female athletes who went to Rio
Jemima Sumgong gold medalist(s)
Faith Kipyegon gold medalist(s)
Vivian Cheruiyot gold medalist and silver medalist(s)
Hellen Obiri silver medalist(s)
Hyvin Jepkemoi silver medalist(s)
Margaret Wambui bronze medalist(s)
Viola Cheptoo Lagat
Mercy Cherono
Nancy Chepkwemoi
Winnie Chebet
Eunice Sum
Betsy Saina
Maureen Jelagat
Beatrice Chepkoech
Alice Aprot
Lydia Rotich
Visiline Jepkesho
Helah Kiprop
Grace Wanjiru

A Famous Kenyan Rapper Used To Drown Millions Of Shillings In Alcohol

There is this one thing that’s associated with artistes. I don’t know whether it holds a pinch of truth or it’s just an ethos formed by “behavioural experts” on artistes. For the longest time, musicians have been branded as lovers of alcohol. Among other earthly fantasies, artistes are often said to be imbibing liquor at any available chance. But I ask again, is it the truth?

Last year, rapper Frasha of the P-Unit group vowed to challenge himself, by taking a self-imposed 100-day ‘sober challenge’. Over the period he kept himself away from indulging in alcohol in an attempt to send a message to the youth. After a month without alcohol, Frasha came out “victorious”.
Now, another Kenyan rapper has done the unthinkable. He has confessed how he has saved himself from drowning millions of shillings in alcohol, to become a sober philanthropist.
© Copyright TANYUZI (Tz-News)
Back To Top